Daimond akiru kuwa na mtoto kabla, Tiffer na Nillan
Mwimbaji Diamond Platinumz anadaiwa kuwa na mtoto kabla ya Tiffah na Prince Nillan ambapo mtangazaji Soudy Brown kabla ya kuzungumza na kaka wa dada anayedaiwa kuzaa na Diamond aliicheza sauti anayosikika Diamond akikiri kuwa alikuwa na mwanamke Mwanza ambaye aliwahi kusema ana ujauzito wake na mpaka alikuwa akimhudumia . Habari zaidi >>> millardayofor fun video click >>> BongoshazTV and subscribe now
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments: